Join   AY.CO.TZ   

»   Ay » Tours » Ay Kutua Nchini Kenya 

Ay Kutua Nchini Kenya


Baada ya kupiga ziara ndefu katika mikoa tofauti nyumbani Tanzania.A.Y amepata mualiko kupitia kampuni ya CRASHKELLY ENTERAINMENT INC. ya nchini Kenya.Na anatarajia kufanya matamasha katika miji matatu (3) tofauti nchini Kenya, show hizo zinatarajia kufanyika katika jiji la Nairobi, Mombasa na Voi.

A.Y alisema "Toka nifanye ziara yangu ya mwisho miezi miwili iliyopita, katika tamasha lilojumuisha vyuo vikuu mbalimbali vya east na central Africa.Lililoandaliwa na kampuni ya simu Za mikononi Celtel,na lilojulikana kama Celtel Africa.Nawaambia sasa ni zamu ya watu wa Nairobi,Mombasa na Voi wakae tayari,kwani ujio wa mzee wa commercial ni mwingine,watarajie kupata burudani kali kutoka kwangu.

KENYA MPO TAYARIII.........
  Discuss
Hello Guest. Please register or login to view hidden text..
Related News
  • Tour ya A.Y Kenya Yafunika
  • A.Y Kumuunga Mkono Mh. Rais J.K Kikwete
  • Makamuzi ya Nguvu Leo Ndani ya Nairobi
  • A.Y Afungua Unity Entertainment
  • Sasa Makamuzi Yanaelekezwa Zanzibar
  • Share

    #2 Author: BymnFremn 10 December 2011 23:32


    --
    --

    loans calculator uk, prepaid credit card master card visa. sae may student loans, personal loans for bad credit. credit union of charlotte vehicle credit basis reduction.

    free fast bad credit personal loan, stolen credit cards from. print credit insurance books. power co credit union morrison rd christopher columbus is credited with doing.

        
    Members of Guest cannot leave comments.