Baada ya uchukuaji wa video hiyo pia utafanyika uchukuaji wa video nyingine ambayo AY amefanya na Chameleone mkali kutoka Uganda,jina la wimbo huo halitaweza kutoka kwa sasa ila ni kazi iliyosimama sana kutoka kwa wakali hao wa Afrika ya Mashariki waliorecord ndani ya studio ya prodyuza anayefunika Hermy B wa nchini Tanzania.
Uchukuaji wa video hizo utajumuisha maeneo tofauti tofauti ya jiji la Kampala na Entebbe.


