Join   AY.CO.TZ   

»   Ay » Highlights » Sasa Makamuzi Yanaelekezwa Zanzibar 

Sasa Makamuzi Yanaelekezwa Zanzibar


Baada ya kupiga shows za kufa mtu katika miji ya Arusha,Nakuru-Kenya na Moshi weekend iliyopita sasa A.Y atachana maji na na kuibukia Zanzibar ambapo atashusha show kali katika TAMASHA LA MAJAHAZI tarehe 6 Ijumaa.

"Bro nimejipanga vya kutosha,pia ni heshima kubwa kwa watu wa ZIFF kunipa nafasi hiyo na nadhani wanakubaliana na kazi nayoifanya..na kwa mara ya kwanza watu wangu wa Zanzibar nitaimba nao “USIJARIBU”...Najua hawafagilii mambo ya kishamba au sio,waambie washkaji nakuja kufanya mambo makubwa wajitokeze kwa wingi ijumaa" alisema MZEE WA COMMERCIAL…

Na pia alitudokeza kuwa ataambatana na SQUAD yake kamili,DJ wake pamoja na backup wake."Ni kweli nitaambatana na Dj. wangu pamoja na back up wangu kuonyesha niko kamili kamili,siku moja kabla ya show tarehe 5 nitasheherekea siku yangu ya kuzaliwa kisiwani humo kisha kesho yake tarehe 6 ni makamuzi kwa kwenda mbele,lazima niwafurahishe mashabiki wangu..."

Kila la kheri kamanda kwa show na siku yako wa kuzaliwa..miaka mingapi lakini unatimiza?????...hahahaha

Baada ya kutoka Zanzibar tutawawekea picha za show zake za ARUSHA,MOSHI,NAKURU na ZANZIBAR.
  Discuss
Hello Guest. Please register or login to view hidden text..
Related News
  • A.Y Ndani ya Dubai
  • Tour Nyingine ya A.Y Inakaribia Kuanza
  • Tour ya A.Y Kenya Yafunika
  • Sasa ni Coco Baech
  • Funga na Fungua Mwaka Ilivyofunika
  • Share

    #2 Author: barker 7 December 2011 12:43


    Kevin Wilson
    canada

    Almost a total of 85% RepliCa dEsigner handbags that sport a designer label and are carried by women at work and other places are China replica handbags.

        
    Members of Guest cannot leave comments.