Join   AY.CO.TZ   

»   Ay » Highlights » A.Y Anyakua Tuzo ya Kilimanjaro 

A.Y Anyakua Tuzo ya Kilimanjaro


Ilikuwa ndani ya DIAMOND JUBILEE V.I.P HALL ijumaa ya tarehe 25th ambapo KILIMANJARO MUSIC AWARDS 2007 ilikuwa inawakabidhi tuzo zao wanamuziki waliofanya vizuri mwaka 2006 na 2007.Kinyanganyiro hicho kilichochukua takribani mwezi mmoja kuwapata washindi ambapo washabiki,wapenzi,wadau mbalimbali pamoja na majaji walishiriki bega kwa bega kulifanikisha hilo.

A.Y ambae alikuwa katika kundi la WIMBO BORA WA MWAKA WA HIP HOP kupitia wimbo wake wa USIJARIBU aliweza kunyakua TUZO hiyo na kuwashinda wasanii wenzake ambao walikuwa katika kundi hilo.

Akiongea na waandishi wa habari A.Y aliweza kupata fursa ya kuwashukuru waandaaji wa KILIMANJARO MUSIC AWARDS kupitia kinywaji chake cha KILIMANJARO kwa kufanikisha zoezi hilo kubwa na gumu,pia aliwashukuru washabiki,wapenzi,wadau mbalimbali pamoja na majaji kwa kuweza kuona kutambua na kuchagua kilicho bora na kumfanya yeye kuibuka mshindi katika kundi hilo.

"USHINDI NILIOUPATA NI CHANGAMOTO KWANGU,HAITANIFANYA NIJIONE KAMA NIMEFIKA,KAZI NDIO IMEANZA TEGEMEENI MAMBO MAKUBWA NA MAZURI TOKA KWANGU,NAWASHUKURU NA KUWAHESHIMU SANA" alisema A.Y

HONGERA MZEE WA COMMERCIAL FANYA KWELI!!

-----------------------------------------------------

Kilimanjaro Music Awards in Tanzania

A.Y Anyakua Tuzo ya Kilimanjaro kilimanjaro.jpgNamed after the highest mountain in Africa and one of the the many tourist attractions in Tanzania, the Kilimanjaro music awards organizers put up a list of all the artists nominated for this year's event.There are twenty one categories including best reggae/ragga artist which features local reggae big names like innocent nganyagwa last year's winer and Hard Mad who have tried to keep up the music's true roots.

Innocent Nganyagwa plays Tanzanian reggae blending some Tanzanian rhythms into normal known reggae beats whel as Hard Mad does real dancehall music flavoured with roots reggae and some african tunes.I n another category tittled East African musician of the year, two Ugandan dancehall artists who havve been on a tour to UK have been mantioned that is Bobby wine of Kagoma/Taata wa bana fame and MeggaDee of Nze ndeka/In heven no beer fame.


  Discuss
Hello Guest. Please register or login to view hidden text..
Related News
  • Tour Nyingine ya A.Y Inakaribia Kuanza
  • Mzee wa Commercial Anyakua Tuzo ya Kisima!!!
  • "Usijaribu" ya A.Y Kuwania Tuzo ya Kisima
  • Sasa ni Coco Baech
  • A.Y - Naomba Kura Yako
  • Share

    #1 Author: barker 7 December 2011 12:45


    Kevin Wilson
    canada

    A look at some of the ReplICA Designer Handbags will make them appear like passable representations while some of the others may look like the exact duplicates of the original handbags.

        

    #2 Author: coollerok5713 26 March 2012 13:17


    --
    --

    Всем привет! Нашел рабочий сервис просмотра гостей Вконтакте. Пользуйтесь, пока не прикрыли - http://vk-secrets.com

        

    #3 Author: cool-baba 21 April 2012 15:01


    cool-baba
    --

    комнатные растения картинки и названия без понтов. требуется домашнее растение фото себе: домашние цветы розы

    среда предпринимательства легко. среднее предпринимательство для себя: хочу инвестиционный бизнес план

    сбербанк бизнес онлайн качественно. нужны книги о бизнесе : требую скачать электронные книги бесплатно

    авто ру продажа подержанных авто без проблем. нужна секреты продаж мамам: ищу секрет смотреть

    нанотехнологии реферат без понтов. требуются нано другу: теории развития

    скачать оперу мини запросто. требуется opera mini для себя: мечтаю скачать бесплатные на телефон

    телеканалы прямой эфир онлайн тайно. надо смотреть фильм мамам: требую бесплатные фильмы

    каталог мебели без понтов. недорогая мебель москва себе: думаю самые низкие цены в москве

        
    Members of Guest cannot leave comments.