Join   AY.CO.TZ   

»   Ay » Highlights » Tour ya A.Y Kenya Yafunika 

Tour ya A.Y Kenya Yafunika


Maudhurio makubwa ya watu katika matamasha yaliyofanyika weekend iliyopita nchini Kenya katika miji ya Voi,Mombasa na Nairobi yamedhihirisha wazi kuwa kazi za wasanii wawili A.Y na Matonya zinakubalika vilivyo katika ardhi ya Mzee KIBAKI.

Mchakamchaka ulianzia Voi siku ya ijumaa tarehe 4 May katika ukumbi wa Voi Railway Club ambapo A.Y alifunika vilivyo, siku ya pili ambayo ni jumamosi ya tarehe 5 May A.Y alikuwa ndani ya POOLBAR MOMBASA ambapo aliwarusha maelfu ya wakazi wa mji huo wa mwambao na watu kukubali kama Bongoflava inaenda pazuri, na funga kazi ikawa siku ya jumapili ambapo A.Y alijumuika na MATONYA katika jiji la Nairobi kwenye ukumbi wa Savooy mbapo wasanii hao waliwakilisha vya kutosha mbele ya maelfu ya washabiki wao, pamoja na hayo pia baadhi ya wasanii mbalimbali wakubwa wa Kenya walijitokeza kushow love katika onyesho ambao ni kama ABASS KUBUFF, FLEXX, JAGUAR pamoja na DNA a.k.a 'MZEE WA BANJUKA'..

Na vile haitoshi sasa watu wa KISUMU na NAKURU wanamuhitaji sana A.Y aende kufanya maonyesho maeneo hayo.

BIG UP BONGO FLAVA!!BIG UP MUZIKI WA AFRIKA MASHARIKI!!!!
  Discuss
Hello Guest. Please register or login to view hidden text..
Related News
  • Sasa ni Coco Baech
  • Sasa Makamuzi Yanaelekezwa Zanzibar
  • Ay Kutua Nchini Kenya
  • A.Y Ndani ya Dubai
  • Tour Nyingine ya A.Y Inakaribia Kuanza
  • Share

    #2 Author: barker 7 December 2011 12:44


    Kevin Wilson
    canada

    This is because no matter how costly the china Replica designER handbags are, they still are available at a fraction of the original cost paid for the same bags offered by a designer label.

        
    Members of Guest cannot leave comments.